Wednesday, September 26, 2012

KIPINDI CHA KWAYA

kwa wanakwaya wote wa USCF-UKWAVITA wa mwaka wa pili na wa tatu ya kuwa Ratiba ya kwaya wiki itakuwa kama ifuatavyo

IJUMAA SAA 11:30 JIONI

JUMAMOSI ITAKUWA SAA 8:30 MCHANA 

MAZOEZI YOTE YATAFANYIKA TTC-ROOM 7
Hivyo wanakwaya wote mnaombwa kuhudhuria bila kukosa kwenye vipindi hivi vya kwaya



JACKSON MESHACK
KATIBU-USCF (UKWAVITA) AMUCTA


KWA NIABA YA VIONGOZI WA KWAYA

No comments:

Post a Comment